Siasa in mchezo mchafu kama wataalamu wa siasa walivyonena hapo name hat a katika maandishi inaonesha hivyo.ukweli in kwamba maisha ya siasa ni kama ya paka na panya hapa nazungumzia ushindani uliopo katika siasa kwa sababu vyama vya upinzani vinagombana sana hadi kutishiana maisha,siasa safi in ile inayofuata matakwa ya wanachama pia INA manufaa kwa wananchi siasa chafu naifananisha na mtengeneza Sera anayetaka kutengeneza Sera inayo mnufaisha yeye tu na si watu wengine kuna baadhi vyama havina mâle go na wananchi hâta kidogo ila tu wakagi wa uchaguzi na uchaguzi ukikaribia ndo wanafanya kuangalia matwakwa Ya wananchi

No comments